- February 1, 2022
- Posted by: Lisa Kagaruki
- Category: Uncategorized
No Comments

Mkurugenzi wa shirika la SAUTI YA HAKI TANZANIA (kulia) lenye Makao makuu Mbeya -Tukuyu , Adv Laetitia Petro leo atembelea ofisi za Namgwo-Namnyaki mkoani Iringa kwa lengo la kuandaa siku ya wanawake ambayo ni tarehe 8 Machi ,
Katika mazungumzo yao, mashirika hayo mawili yamekubaliana kushirikiana ili kuadhimisha sikukuu hiyo.
Bado haijafahamika kuwa siku hiyo ifanyikie wapi ,hapa Iringa au Mbeya – Tukuyu.