- June 27, 2021
- Posted by: Admin
- Categories: Daily News, Member Affairs Programs, Uncategorized, WATETEZI TV

Siku ya jana tarehe 26 Juni 20201, Baraza la Taifa la mashirika yasiyo ya kiserikali (NaCoNGO) lilifanya uchaguzi kupata wajumbe kutoka ngazi za Wilaya, Mikoa na Taifa.
Yafuatayo ni matokeo ya uchaguzi wa Wajumbe wa NaCoNGO katika ngazi za Wilaya kote nchini:
Wilaya ya Mbarali:
- Moses Nchimbi
- Edson Mwakyembe
- Remigius Mdetele
Wilaya ya Lindi
1.Michael Mwanga
2.Fatuma Nyama
3.Mwendo Mnyambala
Wilaya ya Ruangwa.
1.Issa Omari chijuni
2.Stambuli Athumani
3.Tmpale Salum Magehema
Wilaya ya Mtwara
1.Bartzal Komba
2.Clemence Mwombeki
3.Bright Msalya
Wilaya ya Ikungi
1. Eveline Lyimo
2.Hilda Kolla
3.Ibrahimu Omary
Wilaya ya Ubungo
- Lilian Mbaga
- Joseph Yohana
- Chamalo Dente
Wilaya Ya Kinondoni:
1.Lulu Ng’wanakilala
2.Marcela Francis Lungu
3.Anna Henga
Wilaya ya Temeke:
- Jane Magigita
- John Bwana
- Rose Mtwanga
Wilaya ya Muheza:
1.Alex Lucas Mbwilo
2.Zakaria Godfrey Mhina.
3.John Bosco Nditeze
Wilaya ya Nyamagana:
1.Mzee Peter Amon
2. Mr. Musa Masongo
Wilaya ya Ilemela:
- Anitha Modest
- Marco Shija